MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema, leo bungeni amesema serikali inatakiwa kuhakikisha wafanyabiashara wote nchini wanakuwa na amani na wanafanya biashara zao bila bugudha yoyote ili kuweza kuongeza mapato ya nchi.
MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema, leo bungeni amesema serikali inatakiwa kuhakikisha wafanyabiashara wote nchini wanakuwa na amani na wanafanya biashara zao bila bugudha yoyote ili kuweza kuongeza mapato ya nchi.