ASKOFU KAKOBE: “MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana” – Video
“Mheshimiwa Rais mimi huwa ni mbishi kidogo na ukiniona nimekanyaga mahali kama hapa ujue umenikosha na sijui kama kuna watu wengine wamekoshwa kama Kakobe kwa ajili ya haya yanayotendeka.
Askofu Kakobe amesema suala la kuwakusanya watu wote bila kujali itikadi huo ndio uzalendo unaotakiwa.
“Ukiona hizi shangwe na vigelegele japo sio wote wanaokusifu ujue kuna watu wanashangilia kazi zako na leo tunakusihi ujipongeze, ulale na ujue wapo watu wanakushangilia kwa kazi zako,” amesema Kakobe.
ASKOFU KAKOBE – “MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana”
Comments are closed.