
Nyumba ya Mapadre wa Kanisa Katoliki katika Seminari Kuu ya Segerea inadaiwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.

Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha moto huo na athari yake tutakuletea, endelea kufuatilia mitandao yetu muda wote.

Nyumba ya Mapadre wa Kanisa Katoliki katika Seminari Kuu ya Segerea inadaiwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.

Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha moto huo na athari yake tutakuletea, endelea kufuatilia mitandao yetu muda wote.