Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Februari 10, 2019 ameungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Februari 10, 2019 ameungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.


