Rais Dr.John Pombe Magufuli amezindua barabara katika eneo la Busokole yenye urefu wa Kilomita 10 ambapo pamoja na mambo mengine amekutana na Waziri wa zamani wa Ujenzi, Profesa Mark Mwandosya ambaye ni muasisi wa ujenzi wa barabara hiyo.
Rais Dr.John Pombe Magufuli amezindua barabara katika eneo la Busokole yenye urefu wa Kilomita 10 ambapo pamoja na mambo mengine amekutana na Waziri wa zamani wa Ujenzi, Profesa Mark Mwandosya ambaye ni muasisi wa ujenzi wa barabara hiyo.