Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, unatarajiwa kuagwa leo Mei 07, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, unatarajiwa kuagwa leo Mei 07, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.