BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya BATA, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Seneta Seneta ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Pekecha’. Ngoma hiyo imeandikwa na Beka na kutengenezwa na producer Aloyne M.
BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya BATA, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Seneta Seneta ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Pekecha’. Ngoma hiyo imeandikwa na Beka na kutengenezwa na producer Aloyne M.