Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, amefika nyumabani kwa mama Kanumba Kimra – Temboni jijini Dar es Salaam baada ya kifo cha Mdogo wake Kanumba Seth Bosco kilichotokea usiku wa kuamkia Desemaba 7, 2019.
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, amefika nyumabani kwa mama Kanumba Kimra – Temboni jijini Dar es Salaam baada ya kifo cha Mdogo wake Kanumba Seth Bosco kilichotokea usiku wa kuamkia Desemaba 7, 2019.