
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gigy Money, amepiga stori na Global TV na kuzungumza bata lake na mpenzi wake walilokula Dubai ambalo lilizua gumzo mitandaoni watu wakimwambia Gigy kuwa anamaliza hela zake kwa mwanaume huyo.

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gigy Money, amepiga stori na Global TV na kuzungumza bata lake na mpenzi wake walilokula Dubai ambalo lilizua gumzo mitandaoni watu wakimwambia Gigy kuwa anamaliza hela zake kwa mwanaume huyo.