KIONGOZI wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dkt. Getrude Rwakatare amewataka Wakristo wote nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa maana utajiri wa Kimungu unakuja kwa maombi na kufanya kazi kwa bidii.
KIONGOZI wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dkt. Getrude Rwakatare amewataka Wakristo wote nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa maana utajiri wa Kimungu unakuja kwa maombi na kufanya kazi kwa bidii.