×

JPM Amwapisha Musabila kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo

RAIS  John Magufuli  leo  Ijumaa Machi 6, 2020 amemwapisha  Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam

Rais  John  Magufuli akimwapisha  Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020.
…Akimkabidhi nyenzo baada ya kumuapisha.
…Akiwa na mawaziri na  wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya hafla hiyo.

Leave a Comment