×

JPM Apongeza Mchango Wa Sekta Ya Fedha Kufikia Uchumi Wa Kati

Rais Magufuli ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania, mabenki na sekta ya fedha kwa ujumla kwa mchango wao katika kuiwezesha Tanzania kuingia katika kundi la nchi za uchumi wa kati.

Leave a Comment