LEO Jumatano Yanga watakuwa na dakika 90 za kupambana na Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara lakini baada ya mechi hiyo fasta tu watageuza kurudi Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa kupambana na Simba
LEO Jumatano Yanga watakuwa na dakika 90 za kupambana na Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara lakini baada ya mechi hiyo fasta tu watageuza kurudi Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa kupambana na Simba