
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amefanya mabadiliko ya uteuzi wake wa Julai 17, 2020 na amemteua Mhandisi Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Kabla ya kuteuliwa na Rais, Mhandisi Rubirya alikuwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza
Awali, Rais Magufuli alimteua Jumanne Fhika kuwa RC wa mkoa huo. Imeelezwa kuwa, Fhika ataendelea na majukumu yake katika Ofisi ya Rais
DIAMOND Amtaja HAMISA MOBETO LIVE, AMSIFIA, Aingia na ZUCHU UKUMBINI kwenye USIKU WAKE..