×

Bashe Aibuka Kidedea Kura za maoni Nzega Mjini

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewashinda watia nia wenzake 12 wa Ubunge jimbo la Nzega Mjini kwa kura 367 kati ya kura 376 zilizopigwa, sawa na asilimia 97.

Leave a Comment