×

Simba Yatua Dar, Mapokezi Yake Acha Kabisa!

Mapokezi ya mabingwa wa Ngao ya Hisani, Ligi kuu na Kombe la Shirikisho, Klabu ya Simba baada ya kurejea kutoka Sumbawanga ambapo jana waliwafunga Namungo 2-1 katika mchezo wa fainali.

Leave a Comment