×

Mzee Yusuf Aandika Historia, Aujaza Dar Live (Picha +Video)

Mwanamuziki  wa taarab za kisasa, Mzee Yusuf (aliyekaa) alivyoingia ndani ya Dar Live kwa staili ya aina yake  katika onyesho lake la  Usiku Wa Kurudi Mjini.

BAADA ya kukaa nje ya jukwaa la burudani ya muziki kwa muda mrefu,  hatimaye mfalme wa taarab, Mzee Yusuf na kundi lake lote la Jahazi Modern Taarab,  wameamua kurudi mjini kwa kutoa burudani katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa DAR LIVE uliopo Mbagala-Zakhm  jijini Dar es Salaam.

…Akiongea jambo na mashabiki wake.
…Akitoa burudani kwa mashabiki wake.
Umati wa wapenda burudani wakimsikiliza.
…Akifanya yake stejini na mke wake, Leyla Rashid.
…Shangwe za burudani zikiendelea.

 

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8

⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Leave a Comment