
Klabu ya Simba SC leo Agosti 8, 2020 imethibitisha kumsajili Mchezaji Bernard Morrison kutokea Yanga, ila haijaweka wazi gharama ya usajili na muda wa mkataba
Morrison ambaye ni raia wa Ghana anayedaiwa kuwa na Mkataba na Yanga hadi Juni 2022



Klabu ya Simba SC leo Agosti 8, 2020 imethibitisha kumsajili Mchezaji Bernard Morrison kutokea Yanga, ila haijaweka wazi gharama ya usajili na muda wa mkataba
Morrison ambaye ni raia wa Ghana anayedaiwa kuwa na Mkataba na Yanga hadi Juni 2022

