| POST | MHANDISI WA BAHARINI (MARINE ENGINEER) – 1 POST |
| POST CATEGORY(S) | ENGINEERING AND CONSTRUCTION |
| EMPLOYER | Ministry of Works, Transport and Communications |
| APPLICATION TIMELINE: | 2020-09-09 2020-09-23 |
| JOB SUMMARY | NA |
| DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kufuatilia, kutathmini na kushauri kuhusu utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa ufanisi; ii. Kutoa ushauri wa kisera na kisheria kuhusu teknolojia bora ya ujenzi na uendeshaji wa Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na TEMESA; iii. Kusimamia tafiti zinazohusu usanifu, ujenzi na matumizi ya Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na TEMESA; iv. Kutoa ushauri wakitaalam kuhusu namna ya kudhibiti uharibifu wa Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na TEMESA; v. Kufuatilia na kushauri kuhusu utekelezaji wa Mikataba na Maazimio mbalimbali ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa ya uendeshaji salama wa Vivuko vya Serikali; vi. Kufanya ukaguzi na kuandaa taarifa ya haliya Vivuko vya Serikali na kushauri ipasavyo; vii. Kukusanya na kuchambua taarifa za utekelezaji wa miradi ya Vivuko na mapato yanayotokana na uendeshaji wa Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na TEMESA; viii. Kufanya uainishaji wa kiufundi (technical specification) wa viwango (standards) vya ujenzi wa Vivuko vya Serikali vinavyosimamiwa na TEMESA;na ix. Kufanya utafiti na kushauri kuhusu maegesho ya Vivuko vya Serikali kwa ajili ya matumizi ya Umma. |
| QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Uhandisi wa Baharini (MARINE ENGINEERING). |
| REMUNERATION | TGS E |
