Diamond, Zuchu, Rayvanny… Walivyowasili Kahama – Video

WANAMUZIKI kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) wakiongozwa na CEO, Diamond Platnumz, wamewasili salama Kahama mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia Novemba 27, 2020, kwa ajili ya kufanya shoo katika Uwanja wa Taifa wa Kahama siku ya Jumamosi.

