×

Mwili wa Magufuli Wawasili Jamhuri Dodoma Kuagwa – Video

MWILI wa Hayati John Pombe Magufuli umewasili Dodoma ambapo leo Machi 22 unatarajiwa kuagwa na kitaifa jijini humo huku Marais na Viongozi wa Kimataifa wakitarajiwa kushiriki.

Leave a Comment