×

TCRA Yaanza Kupokea Maombi Leseni za Maudhui Mitandaoni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa kwa umma kuwa kuanzia jana Aprili 9,2021 imeanza kupokea maombi mapya ya Leseni za Maudhui mtandaoni kupitia tovuti ya TCRA.

Leave a Comment