
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu , leo Alhamis Mei 13, 2021 amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu , leo Alhamis Mei 13, 2021 amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
