The House of Favourite Newspapers

Kikosi Cha Yanga Chatinga Bungeni, Dodoma -(Picha +Video)

0

KIKOSI cha Yanga leo Mei 18 kimewasili salama makao makuu ya Tanzania, Dodoma na kupata fursa ya kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo kuna vikao vya Bunge ambavyo vinaendelea.

Yanga ilianza safari leo Mei 18 asubuhi kuibukia Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania, unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, kesho Mei 19 majira ya saa 10:00 jioni.

Kupitia ukurasa wao rasmi wa Isntagram, Yanga waliandika namna hii:”Timu ya mabingwa wa kihistoria ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,”.

Leave A Reply