The House of Favourite Newspapers

Kane Hajaongea na Spurs Kwenda Man City

0

TAYARI Klabu ya Manchester City imeweka dau nono la Euro milioni 100 ili kuinasa saini mshambuliaji hatari wa Tottenham Hotspur, lakini nyota huyo anasema hajaongea chochote na timu yake hiyo wakati huu akiwa ni nahodha wa timu ya Taifa ya England kwenye Euro 2020.

 

Kane anasema kwamba, tayari amekwishaeleza mpango wake wa kutaka kuonoka Spurs katika usajili huu wa majira ya joto.

 

Kane mwenye umri wa miaka 27 anasema juu ya suala hilo hajaongea ama na kaka yake, Charlie ambaye ndiye wakala wake au na Spurs ambayo ndiyo mmiliki wake.

Leave A Reply