Majambazi yaiba na kuua Chanika Global Publishers December 9, 2015 0 Comments SHARE THIS: Watu wanaodaiwa kuwa majambazi jana wamevamia na kupora fedha katika benki za CRDB na DCB zilizopo eneo la Chanika jijini Dar es Salaam kisha kuua kwa risasi watu wawili na kujeruhi baadhi ya wafanyakazi. SHARE THIS: