Global Publishers December 9, 2015 16 views 0 Comments
SHARE THIS:
Watu wanaodaiwa kuwa majambazi jana wamevamia na kupora fedha katika benki za CRDB na DCB zilizopo eneo la Chanika jijini Dar es Salaam kisha kuua kwa risasi watu wawili na kujeruhi baadhi ya wafanyakazi.