
Rais Samia amemteua aliyekuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Dkt. Eliezer Feleshi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Anachukua nafasi ya Prof. Adelardus Kilangi ambaye ameteuliwa kuwa Balozi


Rais Samia amemteua aliyekuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Dkt. Eliezer Feleshi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Anachukua nafasi ya Prof. Adelardus Kilangi ambaye ameteuliwa kuwa Balozi
