Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kitakachojiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la dunia dhidi ya Benin.

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kitakachojiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la dunia dhidi ya Benin.
