
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan Jana OKtober 31,2021 amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya Biashara, Lord Walney katika mji wa Glasgow, Scotland.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan Jana OKtober 31,2021 amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya Biashara, Lord Walney katika mji wa Glasgow, Scotland.
