×

Rigwaride Ra afande- 8

ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI:
Nikapeleka mkono kinywani sasa maana kinywa kilikuwa wazi, akakivuta na ulimi, nikakitoa. Nikajua kumbe anapenda vitu vikiwa kinywani, nikamsogelea huku natoa ulimi, akapanua kinywa tena!
JIACHIE MWENYEWE…

Nikamuingizia kidole, akakipokea. Sijui ilikuwaje, nikajisahau, nikakikandamiza vibaya akashtuka…
“Ha! We una nini tena? Si umeshakula? Unataka nini?” alisema mfululizo akiwa amekaa na kunitumbulia macho pima…

“Samahani sana bro, nilijisahau tu…”
“Ulijisahau ukadhani?” aliniuliza akionekana ni mtu makini kuliko watu makini unaowajua wewe…

“Nilidhani wewe ni boifrendi wangu…”
“We una boifrendi?”
“Ndiyo…”
“Kabisa… kabisa?”
“Kabisa…”

“Ina maana wewe ni mzoefu wa mapenzi?”
Swali hilo lilinifanya niachie tabasamu laini na kuona aibu kwa mbali. Kwani lilikuwa swali la mtego sana. Alitaka niseme ndiyo mimi ni mzoefu ili iweje sasa?
“Mbona unatabasamu?” aliniuliza.

Kwanza, mpaka hapo ujue tulikaa beneti kwenye kochi moja na nilikuwa nimemwegemea…
“Nimefurahi tu, swali lako zito sana.”
“Uzito uko wapi? We huogopi mimba?” aliniuliza akiniangalia kwa karibu yake.
“Nazijua siku za hatari kwa mimba,” nilimjibu huku nikiwa namshikashika kidevu chake chenye ndevu za kuhesabia. Si unajua mapolisi!

Nilishangaa kumwona ametulia tuli. Nikazidi kumshikashika kidevu, nikahamia kwenye kifua, nikawa nakipapasa nikimwangalia kwa macho ya mlegezo…
“Tukifumwa je?” aliniuliza…
“Na nani?”

“Afande Mwira…”
“Kumbe harudi tena usiku, ni muda wowote?”
Nikamwona anacheka, alijua nimemuuliza kwa maana ya kumtega pia maana ni yeye aliyesema wale kurudi kwao ni saa kumi usiku, sawa tutafumwa na nani!
“Una maswali we binti,” alisema.

Nikamkatisha kwa kumuuliza swali jingine kabisa…
“Kwani we unaitwa nani?”
“Afande Mwita.”
“He! Yule afande Mwira, wewe afande Mwita…”
“Si mimi, kuna afande Mwita wawili humu ndani. Pia kuna afande Marwa na afande Chacha.”

“He! Kwa hiyo wote ni wa kule?”
“Kulekule ndiyo. We kwenu wapi?”
“Morogoro, lakini baba kazamia Dar miaka kibao tangu yuko yanki!”
“Yanki ndiyo nini?”
“Kijana.”

Afande Mwita alicheka, akanishika kwa mabegani. Akanivutia kwake, nikaelekea bila ubishi, tena alichelewa kunivutia kwake. Akanibusu, nikabusika! Yaani ile mwaaa…na mimi nikafanya mwaaa! Ndiyo kubusika huko…
“Utatunza siri?” aliniuliza kwa sauti ya chini kabisa…
“Kivipi?”

“Yaani hutamwambia chochote afande Mwira kwamba uliingia chumbani kwangu?”
Badala ya kumjibu, nilipeleka mkono hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali. Nikataliitalii hapo mpaka akaniangukia kabisa kwangu, puuu…hoi afande Mwita…

Nikasimama bwana, aibu nikaiweka kando. Loo! Mimi ni mwanamke, yeye ni mwanaume, sasa cha ajabu kipi? Nikamchojoa nguo moja baada ya nyingine…
“Lakini we mtoto kweli upo radhi kabisa?” aliniuliza majibu.
“Kwa nini?”

“Yaani umeamua kutoka moyoni?”
“Kwamba?”
“Kwamba tunaingia kwenye mechi?”
Badala ya kumjibu nilimwangalia kwa macho yangu yale ya kulegeza. Hata kama ni wewe, nikikuangalia kwa macho yangu hayo mwenyewe utaona aibu…
“Lakini hutasema?” aliniuliza.

Badala ya kumjibu nikapiga magoti. Sasa ningemjibu nini wakati kila kitu anakijua. Mimi nitasemaje wakati mwenyewe ndiyo nimeanza uchokozi? Afande wa watu mwenyewe alikuwa amejilalia zake, anakoroma na ameniacha nimeshiba…

“Eti, nihakikishie kwanza, hutasema?” alinishika kichwani na kuniuliza wakati mimi mwenzake nishaanza kuimba nyimbo nzuri za mahaba. Nilitingisha kichwa kwenda juu na chini kwa ishara ya kumkubalia. Ningetikisa kwenda kulia na kushoto maana yake ni kukataa.

Basi, akajiegemeza na kuniacha niendelee kuimba. Wakati naimba yeye akawa anaitikia kwa sauti ya besi. Sasa ukichanganya sauti yangu na yake, tulitoa mlio mmoja mzuri sana kwa wapita njia kama walipita kweli nje.

Mwenzangu, japo nilisema niimbe kwanza mpaka ashindwe yeye lakini nilishindwa. Nikaacha kuimba, nikasimama na mimi nikaanza kujichojoa, moja baada ya nyingine. Tukawa saresare maua, anayejua kuchagua.

Akiwa amekaa, nikasema hapahapa, hakuna kuutumia uwanja wa taifa, tukaamua kuutumia uwanja wa shamba la bibi.
Kumbe jamaa bwana ni mtaalam. Alinishika, akanikamata, akanibana, akaning’ang’ania. Uwanja ukawa hautoshi, akanitupia uwanja wa taifa. Tukaendelea. Lo!

Kazi ikawa kwenye mapozi, mara aliniambia nisimame juu ya uwanja, mara aliniambia nikae. Mara aliniambia nimbebe mtoto mgongoni! Mh!
Nilipomtangazia kwamba nataka kutafuna korosho akaniachia, akapunguza mashambulizi akisema nisitafune korosho wala karanga mpaka tutafune wote.

Nilimkubalia, tukaendelea. Lakini akiwa anatangaza kutafuna korosho, na mimi nikatangaza kumuunga mkono, mlango si ukagongwa bwana!
“Ngo…ngo…ngo…we Rhoda…”
Je, nini kiliedelea hapo? Usikose kusoma kweli Risasi Jumamosi ijayo.

Leave a Comment