×

Man United Yajitoa kwa Haaland


Manchester United imejitoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Erling Haaland baada ya nyota kuripotiwa kupendelea Real Madrid.

Haaland anavutiwa na Meneja mpya wa Man United lakini matarajio ya klabu hiyo ambayo ipo kwenye kipindi cha mpito pamoja na kuwa hatarini kukosa UEFA msimu ujao kunazima ndoto za kujiunga nayo.

Leave a Comment