

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Ubelgiji ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya, Charles Michel mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya Baraza hilo, Brussels nchini Ubelgiji leo Februari 15 Februari, 2022.
Rais Samia yupo barani Ulaya kwa ziara ya kikazi, ambapo awali, ameitembelea Ufaransa ambapo pamoja na mambo mengine, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Emanuel Macron wan chi hiyo
