
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewakamata watu 12 wanaofanya wizi kwa njia ya mtandao pamoja na raia watatu wa DR Congo wanaotuhumiwa kufanya wizi kwa kutumia madawa ya kulevya.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewakamata watu 12 wanaofanya wizi kwa njia ya mtandao pamoja na raia watatu wa DR Congo wanaotuhumiwa kufanya wizi kwa kutumia madawa ya kulevya.