×

Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Vodacom Yapinga Ukatili wa Kijinsia

Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia akizungumza kwenye mkutano wa kupinga ukatili wa kijinsia (Ring a bell) ulioenda sambamba na maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani jana, mkutano huo uliandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na UN Global Compact.   

 

Sehemu ya waliohudhuria hafla hiyo.

 

 

Hivi ndivyo ukatili ulivyopingwa kwa ishara.

Leave a Comment