
Benki ya Biashara ya DCB imeendelea kung’ara wakati ikiadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka huu huku ikianisha baadhi ya mafanikio iliyopata tangu ilipoanzishwa Mwaka 2000.
-Benki ya kwanza kufuzu kutoka benki ya kijamii kwenda Benki ya Biashara.

-Benki ya kwanza Tanzania kusajiliwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam.
-Benki inayoongozwa na watanzania kuanzia Bodi ya Wakurugenzi hadi Menejimenti.
-Benki imewanyanyua wajasiriamali wanawake zaidi ya 400,000 kupitia mikopo ya vikundi.
-Benki inatoa huduma na bidhaa zinazokidhi mahitaji ya wateja.

-Benki ina Wateja kuanzia wajasiriamali wadogo, wafanyabiashara wa kati na wakubwa, wateja binafsi, waajiriwa, mashirika na makampuni.
-Benki ipo sambamba na waajiriwa na inatoa mikopo yenye riba nafuu.
-Benki ipo sambamba na wazazi kuwawezesha watoto elimu hadi chuo kikuu kupitia akaunti ya Skonga na mkopo wa ada.
-Benki inatoa mikopo ya nyumba yenye masharti nafuu.
-Fanya miamala na malipo mahali popote kupitia DCB Pesa, DCB Wakala, Visa, Master Card QR, DCB Malipo na Internet Banking.
-Kufanya miamala nje ya nchi kupitia International money transfer na Western Union.