Na Suzan Kayogela
MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amekiri kutoka kimalovee na mchekeshaji mahiri Bongo (jina linahifadhiwa) na kusema kuwa alikuja kumgeuka kwa kusikiliza maneno ya watu na kujikuta wakiachana huku bado akiwa anampenda.