×

Mkurugenzi Wa Shirika La Bima La Taifa (NIC) Aondolewa

Kaimu A. Mkeyenge

Rais Samia amemteua Kaimu A. Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo akichukua nafasi ya Dkt. Elirehema Doriye atakayepangiwa kazi nyingine

Kabla ya uteuzi Mkeyenge alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)

Leave a Comment