
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Novemba 10, 2023 amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi, Sultan Abdulrahman Al-Marshad Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Novemba 10, 2023 amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi, Sultan Abdulrahman Al-Marshad Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia.


