Mwanamitindo na mbunifu mkubwa wa mavazi nchini, @iradastyletz amefunguka kuwa wanawake wanaotokea maeneo ya uswahili, ndiyo wanaoongoza kuvaa kila siku na wanatumia gharama, hivyo wakiamua kuvaa mavazi bora na mazuri kutoka kwake wanaweza kabisa.
Mwanamitindo na mbunifu mkubwa wa mavazi nchini, @iradastyletz amefunguka kuwa wanawake wanaotokea maeneo ya uswahili, ndiyo wanaoongoza kuvaa kila siku na wanatumia gharama, hivyo wakiamua kuvaa mavazi bora na mazuri kutoka kwake wanaweza kabisa.