
Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetinga robo fainali ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) kufuatia ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Mafarao katika dimba la Laurent Pokou, San Pedro.
Misri 🇪🇬 1-1 🇨🇩 DR Congo (P 7-8 )
⚽ Mostafa Mohamed 45’
⚽ Meschack Elia 37’
MATUTA
MISRI 🇪🇬 ✅❌✅✅✅✅✅✅❌
DRC 🇨🇩 ✅❌✅✅✅✅✅✅✅
DR Congo itachuana na Guinea katika hatua ya robo fainali.