MAMA wa Marehemu Mahmoud Mwalim aliyejirusha baharini kutoka kwenye boti akitokea Pemba kwenda Unguja amesema ingekua vigumu sana kwa mtu yeyote asiyemfahamu kugundua kwamba Kijana wake huyo alikua akisumbuliwa na tatizo la akili.

MAMA wa Marehemu Mahmoud Mwalim aliyejirusha baharini kutoka kwenye boti akitokea Pemba kwenda Unguja amesema ingekua vigumu sana kwa mtu yeyote asiyemfahamu kugundua kwamba Kijana wake huyo alikua akisumbuliwa na tatizo la akili.
