
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe akichukua nafasi ya Dkt. Francis K. Michael
Chongolo aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kabla ya kujiuzulu Novemba 2023


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe akichukua nafasi ya Dkt. Francis K. Michael
Chongolo aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kabla ya kujiuzulu Novemba 2023
