Mtangazaji na mwandishi mkongwe wa habari za michezo, Ibrahim Masoud ‘Maestro’ amesema Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ anahusika katika kuibomoa Simba.
Mtangazaji na mwandishi mkongwe wa habari za michezo, Ibrahim Masoud ‘Maestro’ amesema Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ anahusika katika kuibomoa Simba.