×

Utacheka Sana! Dotto Magari Amlipua Vibaya Mwijaku Kuhusu Kesi Yake Na Masoud Kipanya – Video

Influencer maarufu mjini, @dotto_magari amechekelea maswaibu yaliyomkuta Mwijaku ya kutakiwa kulipa fidia ya shilingi bilioni 5 kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kumkashifu Masoud Kipanya.

Dotto Magari amesema Mwijaku alizoea kumtukana na kumdhalilisha mitandaoni lakini aliamua kukaa kima lakini safari hii, ameyatimba!

Leave a Comment