×

Mapya Yaibuka! Aliyetoa Namba Ya Simu Ya Aslay Kwa Mrembo, Siri Yafichuka – Video

Msanii wa Bongo Fleva kutoka Kundi la Madada Sita lililokuwa chini ya Lebo ya Mkubwa na Wanaye, Wegesa Richard.

Msanii wa Bongo Fleva kutoka Kundi la Madada Sita lililokuwa chini ya Lebo ya Mkubwa na Wanaye, Wegesa Richard @catrimah_richie ameeleza jinsi alivyoshikwa mkono na mwanamuziki @Asleyisihaka na jinsi alivyokutanishwa naye na Dulla Makabila.

Leave a Comment