×

Jeshi la Polisi Tanga Wazuia Mkutano wa Chadema Sababu za Kiusalama

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu

Jeshi la Polisi Wilaya Tanga wamezuia mkutano hadhara uliotarajiwa kufanyika leo 20/09/2024 Tanga Mjini, mgeni rasmi akiwa Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu kwa kile walichodai kuwa mkutano huo ni maandalizi ya maandamano ya Septemba 23, 2024 Jijini Dar es salaam.

Mkutano huo ulikuwa uambatane na zoezi la kuhani msiba wa Mzee Ali Mohamed Kibao.

DK BITEKO – “TUNAKWENDA KUZIMA JENERETA KIGOMA IUNGANISHWE na GRIDI ya TAIFA”….

Leave a Comment