×

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili Benki Kuu Ya Tanzania, Yapo Hapa

Naibu Gavana Utawala na Udhibiti wa Ndani wa Benki Kuu ya Tanzania anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili wa kuandika/mchujo (Aptitude Test) unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15-02-2025 hadi 24-03-2025.

Wasailiwa watakaofuzu usaili huu na kwenda katika hatua zinazofuata watatakiwa kushiriki katika usaili wa vitendo au/na mahojiano kwa tarehe iliyoanishwa au kama watakavyotaarifiwa kwa wakati husika.

Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wa kuandika/mchujo (Aptitude Test) wanapaswa kuzingatia maelekezo
yafuatayo:-

BONYEZA HAPA KUENDELEA KUSOMA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI BENKI KUU YA TANZANIA 06-02-2025