
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro ameongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, jana Alhamis, tarehe 27 Novemba 2025, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro ameongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, jana Alhamis, tarehe 27 Novemba 2025, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.