CCM Yapeleka Tabasamu Kwa Watoto Wanaolelewa Malaika Kids
Katibu wa NEC mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa(SUKI) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rabia Abdallah Hamid(kushoto)akimkabidhi kompasi mmoja ya watoto wanaolelewa katika Kituo cha Malaika Kida kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwanzilishi Mwenza wa kituo hicho Charles Nyembo na wa pili kushoto ni Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake(UWT) Wilaya ya Kinondoni
Kwa upande wake Mwanzilishi Mwenza wa Kituo cha Malaika Kids Charles Nyimbo amekishukuru Chama Cha Mapinduzi(CCM) kinachoongozwa na Mwenyekiti wake Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuwakumbuka watoto wa kituo hicho na kwamba watoto wa kituo hicho wanatambua upendo alionao Rais Samia kwa watoto wa Taifa hili.



.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)


